
Na run cyber biz, and saa hizi biz hai perfom poa sana. Last Election season pia hauikuwa hivo poaaa. Natafuta ideas zenye naeza fanya kwa biz yangu zenye zinaeza do well hii time ya #Election. I understand Tsho printing na posters ni moja, ut challange ya hii ni, politician wengi saa hizi wanafanyia jiji juu its cheap juu wasee uko wana do bulk screen priting same na posters wanatumia zile huge quick printers. Uko na idea gani yenye inaweza work hapa kwa ground and biz ndogo ndogo zenye inaeza saidia ku milk hii opportunity ya #Election period

0
0
0