
Ni hustle gani ngumu sana ushawai chapa and how was it?
Me nilisimamishwa job time ya Corona ikabidi niIngie mjengo, pale Weteithie kwa mChinise flani, nakwambia after kuOffload simiti lorry tatu tukaIngia koroga, hapo ndio niliskia watu wakiOngea, niliskia pesa tunalipwa nikaIshiwa na nguvu,nilimaliza tu siku yangu nikaHepa, then Sato nikaFika time ya doh nikaChukua 320 yangu
0
0
0