
Niaje mayut men hope mko freshi.....mimi na ma mario wa kwa sangu tuliamua kmwuok ki jamien na ku saidia zabae/community yetu kiasi tuu kulingana na vile tunaweza. sisi hudeal na bubu na yma mokoro wayoung. Ii ni kwa sababu kutoka kitambo wamekua wakisahaulika sana na society. So sisi huwafundisha kushona atleast wakue na izo ma rada ndio zitawasadia izo siku zinamwouk.
0
0
0