Niaje mesh nilikuwa nashida but bado sijasaidika adi sai nilikuwa na loan ya eneza na nikachelewa kulipa but Nisha Maliza kulipa yote shida ni wananitumiaga bado Wananidai 59bob so mi hushinda nikilipa iyo 59 for 5 times lkn bado hunitumia hio message na nilikuwa nadai loan ingine any help plz
0
0
0