
Niaje wadau ... Currently Niko unemployed ... Niliwa nime anza biz yangu tough haiku nipeleka fyty ikabidii nimeifunga ... Nina idea kibao za biz naeza taka kuanza although capital ndio balaa... Ninge pata boost ama wera ni save fyty nianze biz ndakuwa nime jitoa pahali ...
0
0
0