
Niaje wanamesh aki I really really need your help, nmekuwa nikijaribu biz joh lakini 🥺🥺🥺...... Sijui kunaendaie aki sipati customers naaply majob lakini hakuna feed back manze mniokolee tu anyone anaweza nioink na job yoyote nsake Capital nianzishe ingine I'll really appreciate
0
0
0