
Niajeni wakuu,I need your help plz, nadai Bamboo sticks size ya mishale za match box but refu coz nitazikatakata.Kuna business idea nko nayo na nahitaji hizo tumiti.Nataka kulaunch product flani kwa market na hizo tumiti ni muhimu.Any idea wanaMESH??? Nipelekeni na rieng.#Tujengane #Tuinuane.Shukran!
0
0
0