
Niajeni wanabiashara 😊 hope mko poa
Imagine , biz yako imeanza kugenerate income vipoa. Dooh inaingiza inatosha kulisha watu wote wanakutegemea .
Siku moja unaamka na biashara yako imeibiwa.
Kwa situation Ka hii ebu tusho venye unaeza deal nayo
Kumbuka bado family ni wewe inategemea

0
0
0