Nimefanyia msee job kwa cyber for long design kila customer apo unitambua nisipo tokea job awataki kuhudumiwa na someone else, kila time nikiacha job apo uyo msee unifitia kwa makarao nashikwa alf anakam kunitoa na deal ya kurudi kumfanyia job,na pia niukua na aim ya kuopen up yangu,what should I do??
0
0
0