
OK, am gidion ndolo, ukipenda mtaani naitwa Sparta, Mimi uko na idea ya kufanya biz ya kinyozi na kuuza cladyyani nguo, Niko na only 5000ksh, na hii deal yangu inataka like 20k, naomba kama naeza kupewa loan kutoka huku at least nianzise biz yangu,, ni gidion nikiwa ghetto ya kayole
0
0
0