
Plz plz hustle yangu inaenda ikiteremka kila siku najihusisha na mambo na kiosk BT masehemu yenye Niko zimefunguliwa viokiosks kama zote.imekuwa shida kwangu ju nilikuwa pekee yanagu na. Sahii Niko na wife na watoi wawili kula na kila kitu nihapo naona naporomoka. Sasa nisaidieni meshehz
0
0
0