
#sales challenge Wakati wa sales kupata customers hukuwa ngumu sana.. 2.competion from other companies Kwa field hukuwa tough. 3.some customers hukuwa rude sana na hawataki kukuskiza. 4.Kuna wengine hutaka goods on credit na hawataki kulipa. 5.saa zingine kutembea Kwa jua na vumbi huwa noma Sanaa😂
0
0
0