
Suspicious "commission" based businesses have mushroomed. How can you identify a pyramid scheme from #Biz legit ?🤔 As user mwenye nili loose a lot of #Biz FUnds kwa hizo ponzi scheme u feel mbaya kuona msee akipoteza capital ya biz kwa hizi biz. Nimekuwa na zile outline points za ku identify hizi scheme
- Abnormal profit
- Lack of products
- Quick hassle free cash Its simple. When you have to make money simply by inviting others to sign up....kindly know that it is the new member sign up fee that is used to pay your so called commission. Real business have real products. If they tell you to invite customers to buy for you to make money and you are good for it by all means invest. Hizi zingine za tunainves alafu tukupe returns zako na ata haujui ni nini wanafanya....hivyo ndii hautajua vile pesa itaenda. Changia na other ndio pia #TulindeMesher #TulindeCommunity yetu

0
0
0