
Tangu nijoin Mesh nimelearn ways za kumaintaine my customers ili wasiende kabisa such as kuwa advice products gani poa zaidi kubonga nao fiti kuwapea credits also mesh imwnifuza vile naweza kuwa na good relationship na my competitors kama kureffer customer wangu kwao kama product yenye wanataka pengine imeisha kwangu Then kuna boy flani niliwatch huku anauza maclady zq both madem na maboys huko nili learn vile naweza manage o Biz yangu huku online Instagram Facebook na ticktock muhimu wa kupost client kama amevaa luku kali as away ya kujimaket And many more .... #LetsReflect
0
0
0