
Teb tugengane na Advice hapa kiac. Imefika time kila mzazi ambaye akona mtoto shule kuwajibkia ipasavyo. Last week niliweza kupata report kwa shule fulani ndugu yangu mdogo huwa anachopia kuwa wamechoma nyumba za kulala(dormitory) A lot damage has been done in the institution naye cs wa education wazazi dio responsible for damage. Karo ya shule enyewe naipata na kulipa kwa shida.sasa kura ingine ya kulipa the damages kwangu kama mzazi imefunguliwa nilipe.Hii dio nn meshers wenzangu....
0
0
0