To some businesses ii mwaka imekua Tough ( kama kwetu Joh ), ju wasee mob pia awajakua na dooh, na Kama kuna kitu biz imenifunza ni akuna mtu anaeza arise alone, kila mtu akisota pia wewe unasota, lazima utakie your neighbours mazuri na mpeane opportunities na ujanja in between ma arref, Ju ukicheki na a different perspective kuna wasee ii mwaka Biz imekua fiti, kama msee wa avocado mwenye alikua anatu uzia avocado, wakuu ova imepanda from 40 - 80/100 ivo ivo tukiona adi imekua luxury, Juzi nmekua ocha nkajengwa moja na 5 bob , adi nkajiuliza ama niache ku uza earphones nianze avocado sales But kwa biz akunanga ku give up, nikama kuamka na hangover ,ukilala iyo sikua hua inakutandika ajab, ukiamua kupambana nayo inajipa , Siku moja naomba God ntakua napost Job adverts apa, Na kwangu kutakuanga workplace kama zile za mpaka tunapiga sherehe za reggae kazini na kucheza Ps kazi iki isha, Work haifai kua Punishment wakuu.