
Ukiwa tuu unachapa Job kwa hustle yako , kanjo wamewai ku ambush? Wakaenda na vitu zako Zote? Mark you bado ni morning hata pesa bado haikua imeingia vizuri 😞 For such a day what do you do ? Utafwata vitu zako ama you just let go? Bearing in mind huko pia lazima tuu utoe pesa ya maana
0
0
0