
US wanadai Kenya kuna counterfeits mob sana in the market and biz.
Time unabuy kitu, what do you consider most?
Ni original ama ni fake? Price iko sawa na budget yangu? Brand inajulikana ama ni mchinku? Bora ifanye kazi, sitaki stress!
Weka comment yako, I want to see something.😂

0
0
0