
Waaaa sasenii mm sasa kuna day customer Fulani alikua akabuy nyanya za 200na vitunguu za 300then akanishw c unaeza kuja twende kwa gari yangu tuongee kidogo kufika kwa gari kumbe hiyo gari iko na sawa akanifunika na kuniuliza uko na doo ngapii sisi ni wale huombea watu ndo biashara yao isimame nikamuuliza unataka doo ngapii pastor ndo uniombee akanishw anataka 15k ndo anointing ikue ya juu c hiyo tym nlikua na 5k nikampea na nikamshw nko na 10k bt iko kwa cmu naeza mtumia akanishw noo ctaki unitumie enda u withdraw c nkaenda mpesa nikatoa doo nikamletea jamaa akaniombea kidogo na kuniambia acha nikushukishe apo mbele ndo watu wasituone c nkakubali kushuka bado ckuelewa ni nn inaendelea after 2hrs ndo nlikuja kwa sences na 15k imeenda aky Ile nduru niliekelea 😂😂😂👍👍👍👍