
Weeeeπππ After I finish high School, nlichukuliwa kufunza tu a certain private school. Then nikawekwa kuwa Exam teacher. So nkatumwa exam with ksh 4,500. Kufika tao nikaona kagari kadogo kamesimama.then there was a lady who came kwangu akasema kuna promotion fiti sana. Ju ya ushamba kidogo nkasogea.wakasema unapeana 400 shillings then unawin products.ata nikapewa nkashika.(mashine ya kinyozi, solar, radio,with cables) . Nkapeana 400.then mashine ikasema nme earn 56points.so npeane 450 ni earn 80 to 90 points ndo nipewe izo products. Nkapeana(exam moneyπ ).nlioshwa. ata vile waliendaga sikujua. Kama singekuwa na savings kidogo Wanafunzi hawangepata exam
0
0
0