
Weuh..kuwekwa CRB nayo huuma..there was a time I paid kcb Mpesa thinking that nitalipa nichukue tena..weuh..kiliniramba..unaambiwa wait for 30 minutes then re apply..hiyo ndio ilikuwa supper ya watoi..mpaka wa Leo sijawahi pewa..unakuwa na hopes za kupata but mwishowe wanakuambia you are blacklisted..kwanza ile siku huna ata bob .#CRBStories

0
0
0