
What i have just realised is that in mash we are more than 50k imagine hao watu wote wakikuzaidia kuadvertise biz yko utakuwa mbele akuna siku ata moja tutalia hakuna kazi ukikuja na biz yenye iko legit kama yangu bila shaka tutakuwa mbali we can not wait for Gok to give job since wazee wamekatalia kazi let's be innovative
0
0
0