
with me haya maandamano yali affect biz yangu na nilikuwa na kinyozi, my kinyozi is lacated at menyinkwa kisii county and niliibiwa machines siku ya maandamano nikieza earn 15k itanisaidia sana kuopen again hustle yangu. i will be able to buy machines za kunyoa, flask , basins , towels ,mirror na i can repair my biz house too. i think i will do great again na i will continue serving customers wangu.
0
0
0