
Wueh! Mi kuna day hii NAIROBI 13TH OF AUGUST 2020. Corona ikiwa kwa corner nimedai kukula Laptop HP EliteBook 840 G5 8th Gen Intel Quad-Core i5-8350U @1.7GHz 8GB RAM 256GB SSD 14" FHD Display Bluetooth Webcam WiFi USB Type-C HDMI Intel UHD Graphics 620 sitawahi sahau. Nikuwa nastay Ghetto(Eastleigh South) Keja ilikuwa inafungwa. Hakuna nare,Maji ilikatwa,Sina Mdifu hata ndimu pekee,yaani maisha ilikuwa kali. Nilikuwa nastay na mabeshte zangu keja moja (Brayo,Gibu na Steve). So,nikaona hii itakuwa ngori nikaingia hii app inaitwa Pigia Me(Playstore) juu nilitaka kuiuza online. Si nikapata Janguti anadai kuibuy,tukaagree tupatane tao hapo US Embassy bombings, Cooperative Bank NRB. Mimi huyo nikaomba Bag kwa jirani ya mtoi wa shule.Tukatoka na mbogi yangu tukaingia tao. Sa hizo tumebeat hakuna msee amedishi shit. Wakajisunda penye kuna pesa(bank) kwa bench na tumesota! Mi nikabanja na client juu ya Lapy tukaagree 15k kumbuka hii ni laptop ya ksh37,999 tuseme tu 38k. Anyway, jamaa akaenda counter akarudi na cheque nicaconfirm details na kila kitu. Hadi client akakuwa beshte tukapiga story za usanii kidogo hadi akataka aniconnect mahali kwa industry. Nikamjenga Laptop, charger na bag ya wenyewe Wueh! Tukaleft tukaishia mtaa tukingoja maweng. Nikangoja nikaona zii! Hebu nichunie huyu mninja... Kuingia online jamaa ameniblock. Nikasema Weh! Leo ndio ile siku nimeoshwa hadi "Makei." Nikacall, Bomboclaat hakushika simu. Ngware, nikatembea hadi tao. Nikaenda Central Police Station kurecord statement, Nikawashow hadi uchunguzi nimefanya. OCS akaniita kando nimtolee form akanitoanisha,Akanipea mablue boys wake wawili. Tukaingia tao kutafuta wezi wakanizungusha na bado nikawatolea form. Kumbe wanadishi na hao wasee tao🤦🏾♂️